Wednesday, March 8, 2023

WATUMISHI WANAWAKE WA OFISI YA RAIS-UTUMISHI WASHIRIKI MAADHIMISHO YA KIMKOA YA SIKU YA WANAWAKE WILAYANI KONDOA

 

Sehemu ya Watumishi wa Umma wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kwa Maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika Wilaya ya Kondoa jijini Dodoma.

Sehemu ya Watumishi wa Umma wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakiwasili kwa maandamano katika viwanja vya Sabasaba wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kimkoa katika Wilaya ya Kondoa jijini Dodoma.

Sehemu ya Watumishi wa Umma wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuhitimisha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kimkoa katika Wilaya ya Kondoa jijini Dodoma.

Sehemu ya Watumishi wa Umma wanawake wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakifurahia jambo wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kimkoa katika Wilaya ya Kondoa jijini Dodoma.






No comments:

Post a Comment