Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti
ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, leo tarehe 1 Mei, 2026 wameungana na watumishi
wengine kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yenye kauli mbiu
isemayo “Kazi zenye Staha ni Nguzo Imara kwa Maendeleo Endelevu katika
Utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050” ambapo kimkoa yamefanyika katika viwanja vya
Jamhuri Jijini Dodoma.
Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti
ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakiwa tayari kuanza maandamano ya kuelekea
viwanja vya Jamuhuri Jijini Dodoma katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi
duniani.
Watumishi wa Ofisi ya Rais,
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakiwa katika maandamano ya
kuelekea viwanja vya Jamuhuri Jijini Dodoma katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).
Watumishi wa
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakiingia katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).
Watumishi wa
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakiwa katika maandamano kuelekea viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).
Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakiwa katika maandamano kuelekea viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).
Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, wakiwa viwanja vya Jamuhuri Jijini Dodoma katika maadhimisho ya Siku ya
Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi)
Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakiwa katika maandamano ya kuelekea viwanja vya Jamuhuri Jijini Dodoma katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).
Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakiwa viwanja vya Jamuhuri Jijini Dodoma katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi)