Tuesday, July 31, 2018

Tuesday, July 24, 2018

WATUMISHI WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII NA UADILIFU



Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Dorothy Mwaluko akizungumza wakati wa hafla fupi ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi wa Sera, Ofisi ya Rais-Utumishi, Bw. Mathias Kabunduguru ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. 

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bw. Mathias Kabunduguru, ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Sera, Ofisi ya Rais-Utumishi  akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi (hawapo pichani) wakati wa hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Utumishi.

Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bw. Mathias Kabunduguru, (hayupo pichani) ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Sera, Ofisi ya Rais-Utumishi wakati wa hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Utumishi.

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bw. Mathias Kabunduguru, ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Sera, Ofisi ya Rais-Utumishi  akimkabidhi nyaraka za kiutendaji Kaimu Mkurugenzi wa Sera, Bi Agnes Meena wakati wa hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Utumishi.

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Dorothy Mwaluko pamoja na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bw. Mathias Kabunduguru wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi baada ya hafla fupi ya kumuaga Bw. Mathias Kabunduguru ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Sera Ofisi ya Rais-Utumishi.

Saturday, July 7, 2018

WATUMISHI WA UMMA WAHIMIZWA KUWAJIBIKA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA ILI KUHAKIKISHA TAIFA LINAFIKIA UCHUMI WA VIWANDA




Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika akizungumza na watumishi wa umma na wadau mbalimbali wa mapambano dhidi ya rushwa katika Siku Maalum ya Mapambano dhidi ya Rushwa, iliyoadhimishwa kwenye Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Injinia Stella Manyanya (Mb) akizungumza na watumishi wa umma na wadau mbalimbali wa mapambano dhidi ya rushwa katika Siku Maalum ya Mapambano dhidi ya Rushwa, iliyoadhimishwa kwenye Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bw. Valentino Mlowola akieleza majukumu ya TAKUKURU dhidi ya rushwa katika Siku Maalum ya Mapambano dhidi ya Rushwa, iliyoadhimishwa kwenye Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar es Salaam.

Watumishi wa Umma na wadau mbalimbali wa mapambano dhidi ya rushwa wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (hayupo pichani)  katika Siku Maalum ya Mapambano dhidi ya Rushwa, iliyoadhimishwa kwenye Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika akiwa na baadhi ya viongozi katika meza kuu katika Siku Maalum ya Mapambano dhidi ya Rushwa, iliyoadhimishwa kwenye Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika akibadilishana mawazo na mmoja wa wadau  wa maendeleo katika Siku Maalum ya Mapambano dhidi ya Rushwa, iliyoadhimishwa kwenye Maonesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara jijini Dar es Salaam.