Wednesday, February 28, 2018

Tuesday, February 27, 2018

UTUMISHI WA UMMA UNAIMARISHWA KWA MAENDELEO YA WATANZANIA



Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro  akiwa katika kikao kazi na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba  pamoja na Maafisa Utumishi wa  Halmashauri hiyo  chenye lengo la kuhimiza uwajibikaji. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba Bi. Pendo A. Malabeja.

Thursday, February 22, 2018

DfID MDAU WA MAENDELO WA SERIKALI YA TANZANIA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) akiwa katika kikao na ujumbe kutoka Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Uingereza (DfID) nchini Tanzania, (hawapo pichani) ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) akiwa katika kikao na ujumbe kutoka Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Uingereza (DfID) nchini Tanzania, ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.

Kiongozi wa Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Uingereza (DfID) nchini Tanzania, Bi. Beth Arthy akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) hayupo pichani wakati wa kikao leo jijini Dar es Salaam.

Kiongozi wa ujumbe kutoka Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Uingereza (DfID) nchini Tanzania, Bw. Nicholas Leader akiwa katika kikao na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) hayupo pichani, ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.


Wednesday, February 21, 2018

SERIKALI YA TANZANIA YAISHUKURU SERIKALI YA JAPANI KWA USHIRIKIANO


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) akiwa katika kikao na Balozi wa Japani nchini, Mhe. Masaharu Yoshida (wa kwanza kulia) kilichofanyika leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) akimsikiliza Balozi wa Japani nchini, Mhe. Masaharu Yoshida (hayupo pichani) wakati wa kikao na Balozi huyo ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam

Balozi wa Japani, nchini Tanzania, Mhe. Masaharu Yoshida akimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) hayupo pichani wakati wa kikao ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) akifafanua jambo kwa Balozi wa Japani nchini, Mhe. Masaharu Yoshida (hayupo pichani) wakati wa kikao na Balozi huyo ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam

Balozi wa Japani, nchini Tanzania, Mhe. Masaharu Yoshida akielezea jambo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) hayupo pichani wakati wa kikao ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.

SERIKALI YAWAPOKEA WATAALAM 13 WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOKUJA KUTOA HUDUMA NCHINI

      Mkurugenzi Msaidizi sehemu ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Msafiri Marwa akizungumza na Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kutoa huduma nchini wakati wa hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi leo.

Afisa Utumishi Mwandamizi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi Juliana Massawe akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi leo.  

Mratibu wa Wataalam wa kujitolea, Bw. Tsujimoto Makoto akizungumza wakati wa hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam wa kujitolea wa Japani waliokuja kutoa huduma nchini wakati wa hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi leo.


Mkurugenzi Msaidizi sehemu ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Msafiri Marwa akiagana na Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kutoa huduma nchini mara baada ya hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi leo.

Mkurugenzi Msaidizi sehemu ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Msafiri Marwa akiwa katika picha ya pamoja na Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kutoa huduma nchini mara baada ya hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam hao iliyofanyika Ofisi ya Rais-Utumishi leo.


Tuesday, February 20, 2018

MWALIMU WA SEKONDARI KUFUNDISHA MSINGI SIO KUSHUSHWA CHEO

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro akiwa katika kikao kazi na watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako.


Sehemu ya watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako walioshiriki kikao kazi na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani). Watumishi walipata fursa ya kuuliza masuala mbalimbali ya kiutendaji na kupewa ufafanuzi.


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro akisisitiza jambo kwa watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako katika kikao kazi.


Mmoja wa watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako akitumia fursa ya kuwasilisha hoja kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) wakati wa  kikao kazi mjini Makambako.