Friday, September 26, 2014

TIMU ZA NETIBOLI,KAMBA NA BAO ZA UTUMISHI ZAAGWA LEO

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais -Utumishi Bw.HAB Mkwizu akizungumza na timu za Ofisi ya Rais-Utumishi wakati wa hafla fupi ya kuaga timu hizo zinazoenda kushiriki mashindano ya SHIMIWI 2014 mjini Morogoro.Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.Aloyce Msigwa (aliyesimama) akizungumza katika hafla fupi ya kuaga timu za Ofisi ya Rais-Utumishi zinazoenda kushiriki mashindano ya SHIMIWI 2014 mjini Morogoro. 
Mwenyekiti wa Michezo Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.Lumuli Mtaki (aliyesimama)akitoa shukrani kwa uongozi wa Ofisi ya Rais-Utumishi kwa kufanikisha timu za Utumishi kwenda kwenye mashindano ya SHIMIWI 2014 mjini Morogoro.
Baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo Ofisi ya Rais-Utumishi wakimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu (hayupo pichani) wakati wa hafla fupi ya kuaga timu za Ofisi ya Rais-Utumishi zinazoenda kushiriki mashindano ya SHIMIWI 2014 mjini Morogoro

Monday, September 22, 2014

TANZANIA AUSTRALIA ALUMNI ASSOCIATION YAZINDULIWA

 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais-Utumishi Bi.Roxana Kijazi (kushoto) akifungua mkutano wa walionufaika na ufadhili wa mafunzo ya muda mfupi na Shahada za Uzamili nchini Australia yanayofadhiliwa na Serikali ya Australia, jijini Dar es Salaam.

Katibu wa Pili wa Ubalozi wa Australia nchini Kenya Bi.Katherine  Parkison akizungumza  na wanachama wa Tanzania Australia Alumni Association wakati wa mkutano wao uliofanyika, jijini Dar es Salaam

Mwenyekiti wa muda wa Tanzania Australia Alumni Association Bw.Francis Mhimbira (kushoto) akiwaeleza waandishi wa habari malengo ya chama hicho baada ya mkutano wao uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya walionufaika na ufadhili wa mafunzo ya muda mfupi na Shahada za Uzamili nchini Australia yanayotolewa na Serikali ya Australia wakimsikiliza Mkurugenzi wa Maendeleo ya Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais-Utumishi Bi. Roxana Kijazi (hayupo pichani) wakati wa mkutano wa chama chao cha Tanzania Australia Alumni Association (TAAA) uliofanyika Serena Hotel.

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais-Utumishi Bi.Roxana Kijazi (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufungua mkutano wa walionufaika na ufadhili wa mafunzo ya muda mfupi na Shahada za Uzamili nchini Australia yanayofadhiliwa na Serikali ya Australia  uliofanyika jijini Dar es Salaam. 

Tuesday, September 16, 2014

WATUMISHI WA UMMA KUPIMWA AFYA

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAb Mkwizu (wa kwanza kushoto) akiwa katika zoezi la kupima afya mapema leo.
Sehemu ya Viongozi na maofisa wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma waliohudhuria zoezi la kupima afya
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi akipima afya ambapo zoezi hilo litawahusu Watumishi wa Umma kupima afya zao hasa Virusi vya Ugonjwa wa UKIMWI (VVU)

Friday, September 5, 2014

SCHOLARSHIP ANNOUNCEMENT LONG COURSES (MASTERS DEGREE) UNDER CHEVENING SCHOLARSHIP FUNDED BY THE UNITED KINGDOM AND COMMONWEALTH FOR 2015/2016.


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE MANAGEMENT


Applications are invited from qualified Tanzanians (Public and Private Sector) to apply for Long Courses tenable in United Kingdom for the year 2015/2016.
      Eligibility for Chevening Scholarship:
·         Be a citizen of a Chevening –eligible country and intend to return there after your studies,
·         Hold a degree that is equivalent to at least an upper second class honors Degree in the UK,
·         Have Completed at least   two years work experience,
·         Be able to meet the Chevening minimum English Language requirement,
·         Be able to obtain the correct visa and receive an unconditional offer form a UK university,

You must submit an online application for a Chevening Scholarship through the Chevening Scholarships website www.chevening.org/apply before the closing date which is 15 November, 2014.

For more details about the scholarship and courses offered and eligibility criteria can be found at www.chevening,org/apply/guidance.

Further details about application process, closing dates and priority subject areas will be available on the country pages of www.chevening.org/apply The Deadline of Application Process is 15 November, 2014.




SCHOLARSHIP ANNOUNCEMENT FOR LONG COURSES IN REPUBLIC OF KOREA FOR THE SPRING 2015

PRESIDENT'S OFFICE
PUBLIC SERVICE MANAGEMENT




Applications are invited for qualified government officials to apply for the following long courses at the KDI School of Public Policy and Management:-

1.  MPP (Master of Public Policy),
2.  MDP (Master of Development Policy),
3.  MPM (Master of Public Management), and
4.  Ph.D. in Public Policy.

Admissions procedures:
Submission of online application must be completed by midnight of the deadline via this website: http://admissions.kdischool.ac.kr/  

The application deadline for Spring 2015 Admissions is October 24th, 2014.

For more information about the admissions, scholarship opportunities and candidate recommendation please feel free to contact the Admission Office (phone: 02 – 3299 – 1281, E-mail: admissions@kdischool.ac.kr)


The Application Guideline for International Students is attached with this Advertisement easy reference.

Thursday, September 4, 2014

WATANZANIA 30 WAPATA FURSA ZA KUSOMA SHAHADA ZA UZAMILI NCHINI JAPANI

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Bw.George D. Yambesi akiongea na Watanzania (hawapo pichani) waliopata ufadhili wa kusoma Shahada za Uzamili nchini Japani katika hafla fupi ya kuwaaga iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Sehemu ya Watanzania waliopata ufadhili wa kusoma Shahada za Uzamili nchini Japani.

Balozi wa Japani nchini Tanzania Bw. Masaki Okada akiwahutubia Watanzania (hawapo pichani) waliopata nafasi ya kusoma nchini Japani katika hafla fupi ya kuwaaga iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Bw. George D. Yambesi (katikati) akiongea na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam katika hafla fupi ya kuwaaga Watanzania waliopata fursa ya kusoma Shahada za Uzamili nchini Japani iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi  wa Umma Bw.George D. Yambesi (aliyetangulia) pamoja na Balozi wa Japani nchini Tanzania Bw.Masaki Okada wakiagana na sehemu ya Watanzania waliopata nafasi ya kusoma nchini Japani.

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi (katikati) ,Balozi wa Japani nchini Tanzania Bw. Masaki Okada (kushoto) na  Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa JICA Bw. Kuniako Amatsu katika picha ya pamoja na Watanzania waliopata fursa ya kusoma Shahada za Uzamili nchini Japani baada ya hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam.