Sunday, June 21, 2026

MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026

 

Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakifurahia jambo wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma,

Wataalamu kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakiendelea kutoa huduma kwa Wananchi katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma

Wataalamu kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakiendelea kutoa huduma kwa Wananchi katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma


Saturday, June 20, 2026

KARIBU CHINANGALI PARK UPATE HUDUMA MBALIMBALI ZINAZOENDELEA KUTOLEWA NA WIZARA NA TAASISI KWENYE MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026

 


KARIBU KUTEMBELEA BANDA LA OFISI YA RAIS-MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA KATIKA MAADHIMISHO YA WIKIYA YTUMISHIO WA UMMA2026 YANAYOENDELEA KATIKA VIWANJA VYA CHINANGALI PARK JIJINI DODOMA

 


OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA2026

 


WIKI YA UTUMISHI WA UMMA YAIBUA FURSA ZA MABORESHO KATIKA UTOAJI WA HUDUMA

Matukio katika picha yakionesha Wananchi wakipatiwa Huduma na Wataalamu kutoka Wizara, Taasisi na Mashirika mbalimbali katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma.

Aidha Wananchi wamepata fursa ya kupata huduma za papo kwa papo na kutoa maoni yao kwa Wizara na Taasisi hizo yatakayoboresha utoaji wa huduma



















Friday, June 19, 2026

MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026

 

Matukio mbalimbali ya picha yakionesha muendelezo wa utoaji wa Huduma kwa wananchi katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, yaliyoanza tarehe16 Juni, 2026 na yanayotarajiwa kuhitimishwa tarehe 23 Juni, 2026  ambapo wananchi wameendelea kupata huduma, elimu na taarifa mbalimbali kutoka kwa Wataalamu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika viwanja vya chinangali Park Jijini Dodoma.



















Thursday, June 18, 2026

MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026

 Wananchi na Watumishi kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania wakiendelea kupata huduma katika mabanda ya maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma leo tarehe 18 Juni 2026.


Kupitia maadhimisho hayo, wananchi wanapata fursa ya kuhudumiwa papo kwa papo, kupata elimu kuhusu huduma za Serikali, kuwasilisha maoni yao na kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali yanayohusu huduma za Umma.

Wananchi wote mnakaribishwa kutembelea viwanja vya maonesho ili kujionea huduma zinazotolewa na kunufaika na fursa ya kupata huduma kwa haraka na kwa urahisi kutoka kwa wataalamu wa wizara na Taasisi mbalimbali za umma.