Wednesday, September 27, 2017

JICA YAPONGEZWA KWA KUDUMISHA USHIRIKIANO NA TANZANIA

Mkurugenzi Msaidizi sehemu ya Ushiririkiano wa Kimataifa kutoka Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Naibu Balozi Msafiri Marwa akimkabidhi zawadi kijana wa Kijapani aliyemaliza muda wa kujitolea hapa nchini, Bw. Yusuke Sakakibara katika hafla fupi ya kuwaaga wataalam wa kujitolea kutoka Japan iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Mratibu wa vijana wa kujitolea kutoka Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) nchini Tanzania, Bw. Ichiro Owa (kushoto) akielezea jambo wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wataalam wa kujitolea waliomaliza muda wao wa kujitolea hapa nchini kutoka Japan iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni mmoja wa waliokuwa wakijitolea Kyoko Tada.

Baadhi ya wataalam wa kijapani waliomaliza muda wa kujitolea nchini wakiwa katika hafla ya kuwaaga baada ya kumaliza muda wao.

Wednesday, September 20, 2017

MHE. KAIRUKI AELEKEZA MTUMISHI ALIYEHAKIKIWA KWA CHETI TOFAUTI NA MAJINA ANAYOLIPWA MSHAHARA KUONDOLEWA KWENYE ORODHA YA MALIPO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WA UMMA (PAYROLL)

WATU WENYE ULEMAVU WASHAURIWA KUJIWEKA WAZI WANAPOOMBA AJIRA ILI WAWEZE KUANDALIWA MAZINGIRA WEZESHI

Add caption

Add caption


Mkurugenzi wa Anuai za Jamii, Ofisi ya Rais - Utumishi, Bi. Anne Mazalla akizungumza kuhusu Mwongozo wa Huduma za Watumishi wa Umma Wenye Ulemavu wa Mwaka 2008 katika kipindi cha JAMBO kinachorushwa hewani na TBC One.


Mkurugenzi wa Anuai za Jamii, Ofisi ya Rais – Utumishi, Bi. Anne Mazalla (kushoto) na Afisa Maendeleo ya Jamii Mkuu wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Chistina Magwai wakiwa katika kipindi cha JAMBO kilichorushwa hewani na TBC Taifa kuzungumzia utekelezaji wa Mwongozo wa Huduma za Watumishi wa Umma Wenye Ulemavu wa Mwaka 2008.


Tuesday, September 19, 2017

MHE. KAIRUKI AELEKEZA MTUMISHI ALIYEHAKIKIWA KWA CHETI TOFAUTI NA MAJINA ANAYOLIPWA MSHAHARA KUONDOLEWA KWENYE ORODHA YA MALIPO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WA UMMA (PAYROLL)






Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akipokea taarifa ya utendaji kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo alipofanya ziara ya kikazi katika mkoa wa Pwani kwa lengo la kuangalia namna zoezi la uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma lilivyofanyika


Baadhi ya watendaji wa Sekretarieti ya Mkoa wa Pwani wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) alipofanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Pwani kwa lengo la kuangalia namna zoezi la uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma lilivyofanyika.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akitoa maelekezo wakati wa ziara yake ya kikazi aliyoifanya katika Mkoa wa Pwani kwa lengo la kuangalia namna zoezi la uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma lilivyofanyika.