Mkurugenzi wa Anuai za Jamii, Ofisi ya Rais – Utumishi,
Bi. Anne Mazalla (kushoto) na Afisa Maendeleo
ya Jamii Mkuu wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Chistina Magwai wakiwa katika
kipindi cha JAMBO kilichorushwa hewani na TBC Taifa kuzungumzia utekelezaji wa Mwongozo wa Huduma za Watumishi wa Umma Wenye Ulemavu
wa Mwaka 2008.
|
No comments:
Post a Comment