Monday, September 11, 2017

SERIKALI YAWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WA HALMASHAURI ZA WILAYA YA KILOSA NA GAIRO ILI KUPISHA UCHUNGUZI WA KUBAINI MAAFISA WALIOZEMBEA KUTEKELEZA KIKAMILIFU ZOEZI LA UHAKIKI WA WATUMISHI HEWA TANGU MWAKA 2009





Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro wakijadili jambo wakati wa  ziara ya kikazi katika Halmashauri za Wilaya ya Gairo na Kilosa yenye lengo la kupata mrejesho wa namna zoezi la uhakiki wa Watumishi hewa na wenye vyeti vya kughushi lilivyofanyika katika Halmashauri hizo.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akitoa maelekezo wakati wa  ziara yake ya  kikazi katika Halmashauri za Wilaya ya Gairo na Kilosa yenye lengo la kupata mrejesho wa namna zoezi la uhakiki wa Watumishi hewa na wenye vyeti vya kughushi lilivyofanyika katika Halmashauri hizo.


Kaimu Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Bi. Susan Nyanda akiwasilisha taarifa ya zoezi la uhakiki wa Watumishi hewa na wenye vyeti vya kughushi kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) wakati wa ziara ya kikazi ya waziri huyo katika Halmashauri za Wilaya ya Kilosa na Gairo.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro wakimsikiliza Kaimu Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa Halmashauri ya Wilaya Kilosa, Bi. Susan Nyanda (hayupo pichani) alipokuwa akiwasilisha taarifa ya zoezi la uhakiki wa Watumishi hewa na wenye vyeti vya kughushi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa.


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akihoji suala la kiutumishi kwa Kaimu Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa Halmashauri ya Wilaya Kilosa, Bi. Susan Nyanda (hayupo pichani) alipokuwa akiwasilisha taarifa ya zoezi la uhakiki wa Watumishi hewa na wenye vyeti vya kughushi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro wakichukua maelezo ya zoezi la uhakiki wa Watumishi hewa na wenye vyeti vya kughushi katika Halmashauri za Wilaya ya Kilosa na Gairo.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya kilosa, Bw. Kessy Mkambala akitoa ufafanuzi wa zoezi la uhakiki wa Watumishi hewa na wenye vyeti vya kughushi katika Halmashauri yake kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) wakati wa ziara ya kikazi ya waziri huyo.


Baadhi ya watendaji wa Halmashauri za Wilaya ya Kilosa na Gairo wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) wakati wa ziara ya kikazi ya waziri huyo katika Halmashauri za Wilaya ya Kilosa na Gairo.

No comments:

Post a Comment