Friday, September 15, 2017

SERIKALI IMETUMIA BILIONI 553.1 KUWEZESHA MIRADI 17,604 KWA LENGO LA KUPUNGUZA UMASKINI KWA WATANZANIA



Add caption


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akijibu swali la Mhe. Ritta E. Kabati (Mb) Bungeni leo kuhusu hali ya utekelezaji wa Mpango wa TASAF wa kusaidiana na vyombo vingine vya Serikali katika kupunguza umaskini wa Watanzania.

No comments:

Post a Comment