Wednesday, March 30, 2016

Ofisi ya Rais,Utumishi yaendelea na vikao kazi kwa njia ya video

Baadhi ya Watendaji na Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakifuatilia mada wakati wa kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,TAMISEMI, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Rukwa, Tabora, Dodoma, Ruvuma, Manyara, Njombe, Mbeya, Kilimanjaro na Songwe kilichofanyika mapema leo.
Mkurugenzi Idara ya Mikataba ya Utendaji Kazi Ofisi ya Rais,Utumishi Bw. Hassan Kitenge (kwenye screen) akiwasilisha mada wakati wa kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,TAMISEMI, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Rukwa, Tabora, Dodoma, Ruvuma, Manyara, Njombe, Mbeya, Kilimanjaro na Songwe kilichofanyika mapema leo.
Baadhi ya Watendaji na Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakifuatilia mada wakati wa kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,TAMISEMI, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Rukwa, Tabora, Dodoma, Ruvuma, Manyara, Njombe, Mbeya, Kilimanjaro na Songwe kilichofanyika mapema leo.
Mjumbe kutoka Mkoa wa Manyara (kwenye screen) akichangia mada wakati wa kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,TAMISEMI, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Rukwa, Tabora, Dodoma, Ruvuma, Manyara, Njombe, Mbeya, Kilimanjaro na Songwe kilichofanyika mapema leo.

Tuesday, March 29, 2016

Ubalozi wa India nchini Tanzania waadhimisha ITEC DAY

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora  Mh. Angellah Kairuki (Mb) akiwasha mshumaa kuashiria uzinduzi wa maadhimisho ya  Siku ya Ushirikiano wa Kiufundi  na Kiuchumi  kati ya Tanzania na India (ITEC DAY) yaliyofanyika katika Kituo cha Utamaduni cha  India jijini  Dar es Salaam.  Anayeshuhudia ni Balozi wa India nchini Tanzania Mh. Sandeep Arya .

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora  Mh. Angellah Kairuki (Mb) akizungumza katika maadhimisho ya  Siku ya Ushirikiano wa Kiufundi  na Kiuchumi  kati ya Tanzania na India (ITEC DAY) yaliyofanyika katika Kituo cha Utamaduni cha  India jijini  Dar es Salaam.
Balozi wa India nchini Tanzania Mh. Sandeep Arya (kushoto) akikabidhi zawadi kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora  Mh. Angellah Kairuki (Mb) wakati wa maadhimisho ya  Siku ya Ushirikiano wa Kiufundi  na Kiuchumi  kati ya Tanzania na India (ITEC DAY) yaliyofanyika katika Kituo cha Utamaduni cha  India jijini  Dar es Salaam.

Friday, March 25, 2016

KITAMBULISHO KWA MTUMISHI WA UMMA

KITAMBULISHO CHA KAZI KWA MTUMISHI WA UMMA-Ni wa wajibu wa kila mwajiri kuhakikisha kila mtumishi mahala pa kazi anakuwa na kitambulisho rasmi cha kazi, na HAKIUZWI kwa watumishi. Ni wajibu wa mwajiri kutenga fedha kwa kazi hiyo.

Friday, March 18, 2016

Tahadhari!



Ofisi ya Rais-Menejimenti na Utumishi wa Umma inapenda kuwatahadharisha watumishi na wananchi kwa ujumla kwamba Fomu za Ahadi ya Uadilifu kwa Watumishi wa Umma haziuzwi na kila Mwajiri ahakikishe anawapatia watumishi fomu hizo zinazopatikana katika Tovuti ya Utumishi www.utumishi.go.tz

tumishi yaaga wataalamu 12 wa kujitolea kutoka nchini Japan waliomaliza muda wao wa kutoa huduma nchini.





Ujumbe kutoka Shirika la misaada la Uingereza DFID wamtembelea Mhe. Kairuki

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) akizungumza na ujumbe kutoka Shirika la misaada la Uingereza DFID ulipomtembelea ofisini kwake mapema leo.

Balozi wa China Nchini Tanzania akutana na Mhe. Kairuki

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) akisisitiza jambo wakati wa maongezi na Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. Lu Youqing  (wa pili kutoka kulia) alipomtembelea  ofisini kwake mapema leo. 
Ujumbe kutoka ubalozi wa China nchini ukimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (hayupo pichani) ulipotembelea ofisini kwake mapema leo.

Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. Lu Youqing (wa pili kutoka kulia) akifafanua jambo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) alipomtembelea ofisini kwake mapema leo.

Mwakilishi Mkazi Mwandamizi kutoka Kitengo cha Uchumi na Biashara, Ubalozi wa China nchini Tanzania Bw. Lin Zhiyong (wa pili kutoka kushoto) akizungumza baada ya kikao kati ya Ujumbe kutoka ubalozi wa China nchini na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) kilichofanyika ofisi za Utumishi mapema leo.

Thursday, March 17, 2016

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa yatembelea TASAF na Tume ya Utumishi wa Umma

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akitoa mchango wake  wakati wa kikao kati ya Tume ya Utumishi wa Umma na  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kilichofanyika ofisi za Tume.

Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Mendeleo ya Jamii (TASAF) Bw. Ladislaus Mwamanga akiwasilisha mada ofisini kwake wakati wa kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa.

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akitoa mchango wake  wakati wa kikao kati ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) na  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kilichofanyika ukumbi wa  TASAF. 

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akifuatilia mada wakati wa kikao kati ya Tume ya Utumishi wa Umma na  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kilichofanyika ofisi za Tume. 

Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Jaji Mstaafu Bw.Steven Bwana (wa pili kutoka kulia) akieleza baadhi ya changamoto za kazi kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa ilipofika ofisini kwake.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa Mhe. Ruth Mollel (Mb) akitoa mchango wake  wakati wa kikao katika ofisi za  Tume ya Utumishi wa Umma na  Kamati hiyo kilichofanyika mapema leo

Mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa akitoa mchango wake  wakati wa kikao kati ya Tume ya Utumishi wa Umma na  Kamati hiyo kilichofanyika ofisi za Tume. 

Wednesday, March 16, 2016

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YATEMBELEA TAKUKURU NA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akitoa ufafanuzi kuhusu masuala yaliyoulizwa wakati wa kikao.

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Bw. Valentino Mlowola akitoa maelezo kuhusu taasisi anayoiongoza kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kuduma ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa Mhe. Jason Rweikiza (Mb) akitambulisha kamati anayoiongoza.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa Mhe. Ruth Mollel (Mb) akitoa mchango wake katika kikao.
 

Sehemu ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (mkono wa kushoto) wakisalimiana na wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kabla ya kikao.

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xvier Daudi akiwasilisha mada kuhusu taasisi anayoiongoza kwa wajumbe wa kamati ya Bunge, hawapo pichani.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro, kushoto, akitoa ufafanuzi kuhusu masuala mbalimbali ya kiutumishi wakati wa kikao na kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kilichofanyika Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.

Waziri wa Nchi, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) kulia, akifafanua jambo wakati wa kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kilichofanyika Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.

Waziri wa Nchi, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) kulia, akifafanua jambo wakati wa kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kilichofanyika Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.

Waziri wa Nchi, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) wa tatu kutoka kushoto, akifafanua masuala mbalimbali yanayohusu Utumishi wakati wa kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kilichofanyika Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
 

Tuesday, March 15, 2016

Ofisi ya Rais-Utumishi yaendelea na vikao kazi kwa njia ya video (video conference)

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bi. Susan Mlawi  (kushoto) akifungua kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa  na Michezo, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Shinyanga, Singida, Mwanza, Tanga, Simiyu,Lindi kilichofanyika mapema leo.Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bi. Susan Mlawi  (kushoto) akifungua kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa  na Michezo, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Shinyanga, Singida, Mwanza, Tanga, Simiyu,Lindi.
 
Baadhi ya Watendaji na Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakifuatilia mada wakati wa kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa  na Michezo, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Shinyanga, Singida, Mwanza, Tanga, Simiyu,Lindi. 

Baadhi ya Watendaji na Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakifuatilia mada wakati wa kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa  na Michezo, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Shinyanga, Singida, Mwanza, Tanga, Simiyu,Lindi. 

Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Bw.Abdul Dachi (picha kubwa kushoto) akiwatambulisha watumishi wa mkoa wake walioshiriki kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa  na Michezo, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Shinyanga, Singida, Mwanza, Tanga, Simiyu,Lindi. 

Baadhi ya Watendaji na Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakifuatilia mada wakati wa kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa  na Michezo, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Shinyanga, Singida, Mwanza, Tanga, Simiyu,Lindi. 

Mkurugenzi wa Idara ya Mikataba ya Utendaji Kazi Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Hassan Kitenge (picha kubwa kushoto) akiwasilisha mada wakati wa kikao kazi kwa njia ya video kilichohusisha Ofisi ya Rais-Utumishi,Wizara ya Fedha na Mipango,Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa  na Michezo, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), pamoja na ofisi za Sekretarieti za mikoa ya Shinyanga, Singida, Mwanza, Tanga, Simiyu,Lindi 

Wednesday, March 9, 2016

SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA WAPEWA MAFUNZO KUHUSU MAADILI YA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais -Utumishi Bw. Mathew Kirama akiongea na washiriki, hawapo pichani, kuhusu Maadili katika Utumishi wa Umma.

Sehemu ya watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa katika mafunzo kuhusu Maadili. 
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Daudi Xavier, kulia, akiongea na watumishi wa sekretarieti kabla ya mafunzo kuhusu Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma.