Tuesday, June 16, 2026
Monday, June 15, 2026
MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Wakurugenzi na Maafisa kutoka Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma
na Utawala Bora wakitoa elimu kwa wananchi kuhusu huduma zinazotolewa na Ofisi
hiyo wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma leo Juni 16, 2026
Chinangali Jijini Dodoma.
Aidha miongoni mwa Huduma zinazotolewa ni pamoja na elimu
ya Mifumo ya e-Wekeza, GSP, e-Huduma, e-Mkopo, e-Msawazo, Gazeti la Serikali,
e-Mrejesho, e-Utendaji, e-Watumishi, e-Likizo na e-Ajira.
Subscribe to:
Posts (Atom)


