Katika kumbukizi yake ya Siku ya Kuzaliwa leo
Aprili 16, 2026 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete amewasihi watumishi Ofisi ya Rais –
UTUMISHI kuchapa kazi kwa bidii, weledi, ushirikiano, Upendo na Amani.
Aidha Mhe. Kikwete ametoa wito kwa Maofisa wa
Ofisi yake kuwajali watumishi wa umma na wananchi wote kwa ujumla wanapofika
katika ofisi hiyo kwa ajili yakupata huduma mbalimbali kwa kuwaonyesha “UTU“.
 |
Naibu Waziri Ofisi ya Rais – UTUMISHI Mhe.
Regina Ndege Qwaray akimlisha keki Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati wa
kuazimisha kumbukizi yake ya siku ya kuzaliwa Leo April 16, 2026 Mtumba, Jijini
Dodoma |
 |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete akijiandaa kumlisha
keki Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika ofisi
hiyo Bw. Mussa Magufuli April 16, 2026 Mtumba, Jijini Dodoma wakati wa
kuazimisha kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa |
 |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete akimlisha keki
Naibu Katibu Mkuu Bw. Xavier Daudi wakati wa kuazimisha kumbukizi ya siku yake
ya kuzaliwa April 16, 2026 Mtumba, Jijini Dodoma |
 |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete akimlisha keki
Naibu Waziri Ofisi ya Rais – UTUMISHI Mhe. Regina Ndege Qwaray wakati wa
kuazimisha kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa April 16, 2026 Mtumba, Jijini
Dodoma |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete akiazimisha
Tarehe ya Kuzaliwa Kwake pamoja na maofisia wa Ofisi ya Rais – UTUMISHI Mtumba
jijini Dodoma Aprili 16, 2026
 |
| Picha ya Pamoja ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa anakata keki pamoja na watumishi wa ofisi yake Leo Aprili 16, 2026 |