Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Juma Mkomi akizungumza katika kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Wizara na Idara zinazojitegemea, Wakala wa Serikali, Taasisi na Mashirika ya Umma, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mtaa, leo Juni 2, 2026 jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya
Rais-UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi, akizungumza na Wakuu wa Idara na vitengo vya
Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wakati alipokuwa akiongoza majadiliano
na watumishi hao katika kikao kazi kilichofanyika Jijini Dodoma.
Washiriki wa kikao kazi cha
Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu
wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na wawezeshaji kutoka
Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala katika ukumbi wa Mabele Hall Jijini Dodoma.
Katibu Mkuu-UTUMISHI Bw. Juma
Mkomi, akifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na wawezeshaji
katika kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa
rasilimaliwatu katika ukumbi wa Mabele Hall jijini Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Utawala wa Utumishi
wa Umma, SACP. Ibrahim Mahumi na
kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Bw. Xavier Daudi wa Ofisi hiyo.
Mkurugenzi
wa Mipango kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Cosmas Ngangaji (kulia)
akifuatilia
mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na
wawezeshaji wakati wa Kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo
vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini Bw. Hamis Mkunga Mkunga akiwasilisha mada kuhusu Usimamizi wa rasilimaliwatu na usafishaji wa taarifa za kiutumishi na mishahara wakati wa kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu Jijini Dodoma.
Mkurugenzi
wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais – UTUMISHI, Bi Leila
Mavika akiwasilisha mada
kuhusu Uratibu wa Ajira za Wtanzania
katika mashirika ya Kikanda na Kimataifa wakati wa kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo
vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu Jijini Dodoma
Mtendaji
Mkuu wa Taasisi ya Uongozi, Bw. Kadari Singo akiwasilisha mada kwa Wakuu
wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu katika kikao
kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Mabele Hall jijini Dodoma
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya
Waziri Mkuu-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bw. Sospeter Mtwale akitoa
wito kwa Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu katika Wizara na Idara zinazojitegemea, Wakala wa Serikali,
Taasisi na Mashirika ya Umma, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za
Mtaa kuhusu uzingatiaji wa maadili
katika Utumishi wa umma tarehe 2 Juni, 2026 ikiwa ni siku ya pili ya kikao
hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Mabele hall jijini Dodoma
Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Ofisi ya
Rais-UTUMISHI, wakifuatilia maelezo ya Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo wakati
alipokuwa akitoa ufafanuzi wa jambo wakati wa kikao kazi cha Wakuu
wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu tarehe 2 Juni,
2026 Jijini Dodoma.
Washiriki kutoka Sekretarieti Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na wawezeshaji wakati wa Kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu Jijini Dodoma.


























