Thursday, April 16, 2026

HAPPY BIRTHDAY MHE. KIKWETE

Katika kumbukizi yake ya Siku ya Kuzaliwa leo Aprili 16, 2026 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete amewasihi watumishi Ofisi ya Rais – UTUMISHI kuchapa kazi kwa bidii, weledi, ushirikiano, Upendo na Amani.

Aidha Mhe. Kikwete ametoa wito kwa Maofisa wa Ofisi yake kuwajali watumishi wa umma na wananchi wote kwa ujumla wanapofika katika ofisi hiyo kwa ajili yakupata huduma mbalimbali kwa kuwaonyesha “UTU“.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais – UTUMISHI Mhe. Regina Ndege Qwaray akimlisha keki Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati wa kuazimisha kumbukizi yake ya siku ya kuzaliwa Leo April 16, 2026 Mtumba, Jijini Dodoma




Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete akijiandaa kumlisha keki Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika ofisi hiyo Bw. Mussa Magufuli April 16, 2026 Mtumba, Jijini Dodoma wakati wa kuazimisha kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa 


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete akimlisha keki Naibu Katibu Mkuu Bw. Xavier Daudi wakati wa kuazimisha kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa April 16, 2026 Mtumba, Jijini Dodoma


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete akimlisha keki Naibu Waziri Ofisi ya Rais – UTUMISHI Mhe. Regina Ndege Qwaray wakati wa kuazimisha kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa April 16, 2026 Mtumba, Jijini Dodoma


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete akiazimisha Tarehe ya Kuzaliwa Kwake pamoja na maofisia wa Ofisi ya Rais – UTUMISHI Mtumba jijini Dodoma Aprili 16, 2026

Picha ya Pamoja ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa anakata keki pamoja na watumishi wa ofisi yake Leo Aprili 16, 2026



KATIBU MKUU-UTUMISHI BW. JUMA MKOMI AKUTANA NA MAKAMISHNA WA TUME YA UTUMISHI WA UMMA KWA MAZUNGUMZO

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI Bw. Juma Mkomi akutana na kufanya mazungumzo na Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma kuhusu Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma Ofisini kwake Mtumba, jijini Dodoma, tarehe 16 aprili, 2026.


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI Bw. Juma Mkomi (wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma baada ya kuhitimisha mazungumzo Ofisini kwake Mtumba, jijini Dodoma.


Wednesday, April 15, 2026