Mwenyekiti wa kikao cha
Waratibu wa Afua za kudhibiti VVU, UKIMWI na MSY Beatus Wenga (aliyekaa katikati)
akiwasikiliza Waratibu hao wakati wakiwasilisha hoja mbalimbali za majadiliano
leo tarehe 2 Machi, 2026 katika Ukumbi wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera.Kushoto ni Mwenyekiti
Msaidizi wa kikao hicho Bi Rachel Maliselo Na kulia ni Katibu Bi. Linda Lusajo.
Waratibu wa Afua ya kudhibiti
VVU, UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukiza (MSY) ngazi ya Wizara, wakifuatilia ufafanuzi
wa jambo kwa Mwenyekiti wa kikao hicho Bw. Beatus Wenga (hayupo pichani) katika
kikao kilichofanyika leo tarehe 2 Machi,
2026 Ukumbi wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera
Meza Kuu (waliokaa) wakiwa
katika picha ya pamoja na wajumbe wa Sekretarieti baada ya kufunga Kikao cha Waratibu
wa Afua ya kudhibiti VVU, UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukizwa (MSY) ngazi ya
Wizara leo tarehe 4 machi, 2026 katika Ukumbi wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera
Wajumbe wa kikao cha Kudhibiti
VVI, UKIMWI na MSY mahali pa kazi wakifuatilia Mada iliyokuwa ikiwasilishwa
wakati wa kikao hicho katika Ukumbi wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera.
Afisa
Ustawi wa jamii Mwandamizi na Mratibu wa Afua ya kudhibiti VVU/UKIMWI
na Magonjwa Yasiyoambukizwa (MSY) Bi.
Juliana Ntukey akiwasilisha mada katika kikao kilichofanyika Ukumbi
wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera.
Meza Kuu (waliokaa) wakiwa
katika picha ya pamoja na Waratibu wa Afua ya kudhibiti VVU, UKIMWI na Magonjwa
Yasiyoambukizwa (MSY) ngazi ya Wizara baada ya kufunga Kikao hicho leo tarehe 4
machi, 2026 katika Ukumbi wa ELCT Bukoba
Mkoani Kagera.
Waratibu wa Afua ya kudhibiti
VVU/UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukiza (MSY) ngazi ya Wizara, wakifuatilia wasilisho
kutoka kwa Afisa Ustawi wa jamii
Mwandamizi na Mratibu wa Afua ya kudhibiti VVU/UKIMWI na Magonjwa
Yasiyoambukizwa (MSY) Bi. Juliana
Ntukey wakati wa kikao kilichofanyika eo tarehe 2 Machi, 2026 katika Ukumbi
wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera
Meza Kuu (waliokaa) wakiwa
katika picha ya pamoja na Waratibu wa Afua ya kudhibiti VVU, UKIMWI na Magonjwa
Yasiyoambukizwa (MSY) ngazi ya Wizara baada ya kufunga Kikao hicho leo tarehe 4
machi, 2026 katika Ukumbi wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera.
Afisa
Mipango Ofisi ya Rais-UTUMISHI Bi. Fatuma Likusi akiwasilisha mada kwa Waratibu
wa Afua ya kudhibiti VVU, UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukiza (MSY) ngazi ya
Wizara leo tarehe 3 machi, 2026 katika Ukumbi wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera.
Waratibu wa Afua ya kudhibiti
VVU/UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukizwa (MSY) ngazi ya Wizara, wakifuatilia ufafanuzi
wa jambo kutoka kwa Mwenyekiti wa kikao hicho Bw. Beatus Weng (hayupo pichani) kilichofanyika leo tarehe 2 Machi, 2026 katika Ukumbi wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera
Waratibu wa Afua ya kudhibiti
VVU/UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukizwa (MSY) ngazi ya Wizara, wakifuatilia ufafanuzi
wa jambo kutoka kwa Mwenyekiti wa kikao hicho Bw. Beatus Weng (hayupo pichani) kilichofanyika leo tarehe 2 Machi, 2026 katika Ukumbi wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera
Waratibu wa Afua ya kudhibiti
VVU/UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukizwa (MSY) ngazi ya Wizara, wakifuatilia ufafanuzi
wa jambo kutoka kwa Mwenyekiti wa kikao hicho Bw. Beatus Weng (hayupo pichani) kilichofanyika leo tarehe 2 Machi, 2026 katika Ukumbi wa ELCT Bukoba Mkoani Kagera












No comments:
Post a Comment