Thursday, September 7, 2017

WATUMISHI TEA WASISITIZWA KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA UTENDAJI KAZI

Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Leila Mavika akifafanua Kanuni za Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma kwa watumishi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) wakati wa mafunzo kuhusu Maadili na ushughulikiaji wa malalamiko katika utumishi wa umma yaliyotolewa na Ofisi ya Rais-Utumishi kwa watumishi wa Mamlaka hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Mhasibu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Bi. Elizabeth Urassa, akichangia mada wakati wa mafunzo kuhusu Maadili na ushughulikiaji wa malalamiko katika utumishi wa umma yaliyotolewa na Ofisi ya Rais-Utumishi kwa watumishi wa Mamlaka hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Mhasibu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Bi. Magreth Semiono, akichangia mada wakati wa mafunzo kuhusu Maadili na ushughulikiaji wa malalamiko katika utumishi wa umma yaliyotolewa na Ofisi ya Rais-Utumishi kwa watumishi wa Mamlaka hiyo leo jijini Dar es Salaam.


Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Leila Mavika akisisitiza jambo kuhusu Maadili katika Utumishi wa Umma kwa watumishi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) (hawapo pichani) wakati wa mafunzo kuhusu Maadili na ushughulikiaji wa malalamiko katika utumishi wa umma yaliyotolewa na Ofisi ya Rais-Utumishi kwa watumishi wa Mamlaka hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Leila Mavika akiowaonyesha watumishi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) (hawapo pichani) Kanuni za  Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma wakati wa mafunzo kuhusu Maadili na ushughulikiaji wa malalamiko katika utumishi wa umma yaliyotolewa na Ofisi ya Rais-Utumishi kwa watumishi wa Mamlaka hiyo leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment