Matukio mbalimbali ya picha
yakionesha muendelezo wa utoaji wa Huduma kwa wananchi katika Maonesho ya Wiki
ya Utumishi wa Umma, yaliyoanza tarehe16 Juni, 2026 na yanayotarajiwa
kuhitimishwa tarehe 23 Juni, 2026 ambapo
wananchi wameendelea kupata huduma, elimu na taarifa mbalimbali kutoka kwa Wataalamu
wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika viwanja vya chinangali Park Jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment