Kikao kazi cha siku tatu cha
Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini
kinahitimishwa leo tarehe 3 Juni, 2026 jijini Dodoma na Naibu Waziri,
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray.
kikao hicho kilifunguliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya
Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete
ambapo katika siku hizo tatu washiriki wamepewa uelewa wa namna ya kuimarisha utawala na usimamizi wa rasilimaliwatu katika Utumishi
wa Umma.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya
Rais-UTUMISHI, Bw. Xavier Daudi, akizungumza na Wakuu wa Idara na vitengo vya
Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wakati alipokuwa akiongoza majadiliano katika
kikao kazi na watumishi hao kilichofanyika Jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Utawala wa
Utumishi wa Umma wa Ofisi hiyo, SACP. Ibrahimu Mahumi
Washiriki wa kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na wawezeshaji mbalimbali leo tarehe 3 Juni, 2026 katika ukumbi wa Mabele Hall Jijini Dodoma.
Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI, wakifuatilia maelezo ya Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Bw. Xavier Daudi wakati alipokuwa akitoa ufafanuzi wa jambo wakati wa kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu leo tarehe 3 Juni, 2026 Jijini Dodoma
Baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora wakifuatilia mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na wawezeshaji wakati wa Kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu leo tarehe 3 Juni, 2026 Jijini Dodoma
Washiriki wa kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na wawezeshaji mbalimbali leo tarehe 3 Juni, 2026 katika ukumbi wa Mabele Hall Jijini Dodoma.
Washiriki kutoka Sekretarieti Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na wawezeshaji wakati wa Kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu Jijini Dodoma.
Baadhi ya Wakurugenzi wasaidizi kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora wakifuatilia mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na wawezeshaji wakati wa Kikao kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa rasilimaliwatu leo tarehe 3 Juni, 2026 Jijini Dodoma
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Xavier Daudi, (kulia) akiteta jambo na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma wa Ofisi hiyo, SACP. Ibrahimu Mahumi
No comments:
Post a Comment