Watumishi wote wa Ofisi ya Rais - UTUMISHI waliozaliwa Mwezi Januari wamepongezwa leo tarehe 26 Januari, 2026.
Kwa kumbukizi hiyo, watumishi hao wamepata nafasi ya kulishwa Keki na Mkurugenzi wa Idara ya Mishahara, Motisha na Marupurupu Bi. Mariam Mwanilwa kwa niaba ya Katibu Mkuu Bw. Juma Mkomi.
No comments:
Post a Comment