Friday, January 9, 2026

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI KWA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MRADI WA TASAF WA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI LAJA, WILAYA YA KARATU MKOANI ARUSHA

 

Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray akiteta jambo na viongozi wa wilaya ya Karatu baada ya kukagua mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Laja ambao ni mpango uliotekelezwa na mradi wa  kunusuru kaya maskini(TASAF) uliopo katika kijiji cha Laja,Kata ya Kanse ,wilaya ya Karatu Mkoa wa Arusha leo tarehe 10          Januari, 2026


Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray akisaini kitabu cha Wageni baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Karatu wakati wa ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Laja uliopo katika kijiji cha Laja,Kata ya Kanse ,wilaya ya Karatu Mkoa wa Arusha leo tarehe 10   Januari, 2026

Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray akiwasili katika wilaya ya Karatu ulipo mradi wa kunusuru kaya masikini wa ujenzi wa shule ya sekondari Laja katika kijiji cha Laja,Kata ya Kanse , Mkoa wa Arusha leo tarehe 10 Januari 2026


Katibu Tawala wilaya ya Karatu Bw. Bahati Mfungo akiwatambulisha viongozi mbalimbali wa wilaya hiyo kwa Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Karatu kwa ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Laja, Kata ya Kanse Mkoa wa Arusha.

Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray akiendelea na ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Laja ambao tayari umeanza kutumika kwa ajili ya kuhakikisha elimu inawafikia watoto waliopo kijijini hapo kwa maendeleo ya Taifa.


Wananchi wa Kijiji cha Laja wakimsikiliza Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao baada ya kukagua mradi wa shule ya sekondari Laja leo tarehe10 Januari, 2026


Viongozi pamoja na wananchi wa Wilaya ya Karatu wakiingozwa na Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray (hayupo pichani) katika ukaguzi wa mabweni ikiwa ni sehemu ya mradi wa ujenza wa shule ya sekondari ya Laja uliopo kijiji cha Laja , Kata ya Kanse, wilaya ya Karatu Mkoa wa Arusha leo tarehe 10          Januari, 2026


Timu ya Kamati ya Usalama Mkoa wa Karatu pamoja na viongozi wa Wilaya hiyo wakimpokea Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray (aliyevaa sweta la Orenji) baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Katatu wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari laja uliopo katika kijiji cha Laja, Kata ya Kanse, Mkoa wa Arusha

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray akikagua darasa mojawapo miongoni mwa yale yaliyojengwa kupitia Mradi wa TASAF wa ujenzi wa shule ya sekondari Laja leo tarehe 10 Januari, 2026 uliopo katika kijiji cha Laja, Kata ya Kanse, Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha.


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray akisaini kitabu cha Wageni baada ya kukagua Mradi wa TASAF wa ujenzi wa shule ya sekondari Laja leo tarehe 10 Januari, 2026 uliopo katika kijiji cha Laja, Kata ya Kanse, Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha.

Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Regina Qwaray (wa pili kushoto) akiendelea na ukaguzi wa mradi wa shule ya sekondari Laja ambao ni mpango wa kunusuru kaya maskini katika kijiji cha laja kilichopo Kata ya Kanse, Wilaya ya Kataru mkoani Arusha.




No comments:

Post a Comment