Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wakuu
wa Taasisi na Wakurugenzi wa ofisi hiyo wakati wa kikao kazi cha kuandaa
taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa kwenye vikao vya Kamati ya
Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma.
Wakuu wa Taasisi na Wakurugenzi wa Ofisi ya
Rais-UTUMISHI na Utawala Bora wakiwa kwenye kikao kazi cha Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani
Kikwete kilicholenga kuandaa taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa
kwenye vikao vya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini
Dodoma.
Naibu
Waziri, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray akitoa
maelezo ya awali kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete kuzungumza na Wakuu wa Taasisi na Wakurugenzi
wa ofisi hiyo kwenye kikao kazi cha kuandaa taarifa ya Muundo na Majukumu
itakayowasilishwa kwenye vikao vya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba
na Sheria jijini Dodoma.
Katibu Mkuu-IKULU, Bw. Mululi Mahendeka akifafanua
jambo wakati wa kikao kazi cha
kuandaa taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa kwenye vikao vya Kamati
ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akifurahia jambo
wakati wa kikao kazi cha Wakuu wa Taasisi na Wakurugenzi wa ofisi hiyo wakati
wa kuandaa taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa kwenye vikao vya
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma.
Naibu
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi
akiwasilisha moja ya taarifa wakati wa kikao kazi cha kuandaa taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa
kwenye vikao vya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini
Dodoma.
Wakurugenzi wa Idara na Vitengo kutoka ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakiwa kwenye kikao kazi cha kuandaa taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa kwenye vikao vya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wakuu
wa Taasisi na Wakurugenzi wa ofisi hiyo wakati wa kikao kazi cha kuandaa
taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa kwenye vikao vya Kamati ya
Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma.
Katibu wa Ofisi ya Rais,
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Mick Kiliba akiwasilisha
taarifa ya taasisi anayoisimamia kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) wakati wa kikao
kazi cha kuandaa taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa kwenye vikao
vya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma.
Wakurugenzi
wa Idara na Vitengo kutoka ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora wakiwa kwenye kikao kazi cha kuandaa taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa
kwenye vikao vya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini
Dodoma.
Sehemu ya Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakimsikiliza
Waziri wa Ofisi hiyo Mhe. Ridhiwani Kikwete wakati wa kikao kazi
chake kilicholenga kuandaa taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa
kwenye vikao vya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini
Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akifuatilia moja ya
taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa kwenye vikao vya Kamati ya Kudumu
ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu
Waziri, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray.
Sehemu ya Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakimsikiliza
Waziri wa Ofisi hiyo Mhe. Ridhiwani Kikwete wakati wa kikao kazi cha kuandaa
taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa kwenye vikao vya Kamati ya
Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma.
Sehemu
ya Maafisa wa Taasisi
zilizo chini ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
wakimsikiliza Waziri wa Ofisi hiyo Mhe. Ridhiwani Kikwete wakati wa
kikao kazi cha kuandaa taarifa ya Muundo na Majukumu itakayowasilishwa kwenye
vikao vya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria jijini Dodoma.












No comments:
Post a Comment