Thursday, November 27, 2025

TIMU YA WATAALAM KUTOKA OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA, WIZARA YA FEDHA NA WATUMISHI HOUSING INVESTMENTS YAKAGUA NA KUFANYA TATHMINI YA KUKAMILIKA KWA MRADI WA UJENZI WA MAKAZI YA WATUMISHI WA UMMA KIJIJI CHA KIJIWENI, MKOANI LINDI

 HABARI KATIKA PICHA

Mwonekano wa jengo la mradi wa makazi ya Watumishi wa Umma lililopo katika Kijiji cha Kijiweni, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani Lindi. 



Timu ya wataalam kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Wizara ya Fedha na Watumishi Housing Investments ikitoka kukagua na kufanya tathmini ya mwisho ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa makazi ya Watumishi wa Umma katika Kijiji cha  Kijiweni, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani Lindi. 


Timu ya wataalam kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Wizara ya Fedha na Watumishi Housing Investments ikikagua na kufanya tathmini ya mwisho ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa makazi ya Watumishi wa Umma katika Kijiji cha  Kijiweni, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani Lindi. 


Timu ya wataalam kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Wizara ya Fedha na Watumishi Housing Investments wakiwa katika picha ya pamoja na Walimu wa Shule ya Msingi Kijiweni mara baada ya kukagua na kufanya tathmini ya mwisho ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa makazi ya Watumishi wa Umma katika Kijiji cha Kijiweni, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi, mkoani Lindi. Wengine ni wataalam wa ujenzi kutoka WHI. 


Mwonekano wa nyuma wa jengo la mradi wa makazi ya Watumishi wa Umma lililopo katika Kijiji cha Kijiweni, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani Lindi.


Mwonekano wa jiko na vyoo vilivyopo katika jengo la mradi wa makazi ya Watumishi wa Umma lililopo katika Kijiji cha Kijiweni, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani Lindi.

 



No comments:

Post a Comment