Thursday, November 27, 2025

KIKAO KAZI CHA MAAFISA SHERIA NA MAAFISA UTUMISHI KILICHOLENGA KUBADILISHANA UZOEFU JUU YA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA UTUMISHI WA UMMA SURA 298 NA KANUNI ZAKE

 


Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi Hilda Kabissa (wa kwanza kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa Maadili Ofisi hiyo Bi. Felista Shuli (aliyeketi katikati) pamoja na Mratibu kutoka Ofisi ya Rais Ikulu Bi. Hilda Lugembe (wa tatu kushoto) wakati wa  Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika tarehe 27&28 Novemba,2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa

Mwenyekiti wa kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma ambaye ni Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala kutoka halmashauri ya wilaya ya Ludewa Bw. Oscar Semtengu akitoa neno la shukrani baada ya kumalizika kwa kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa.

Sehemu ya washiriki wa kikao kazi kilicholenga Kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi ya Umma na kanuni zake wakifuatilia mada mbalimbali zilizikuwa zikitolewa wakati wa majadiliano ya kikao hicho katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa kilichofanyika tarehe 27&28 Novemba,2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.

Sehemu ya Sekretarieti Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na wawezeshaji wakati wa  Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika tarehe 27&28 Novemba,2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala wa Usimamizi wa Utumishi wa Umma Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi Verediana Ngahega akitoa maelekezo mafupi juu ya ushughulikiaji wa Uhamisho (E transfer), Upandishwaji Vyeo na Ubadilishwaji Kada katika Utumishi wa Umma wakati wa Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika Mkoani Iringa tarehe 27&28 Novemba,2025.



Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Juma Senzota akitoa maelezo mafupi kuhusu ushughulikiaji wa Malimbikizo ya Mishahara kwa watumishi wa Umma waliopandishwa Vyeo, waliofukuzwa kazi na kurejeshwa katika Utumishi wa Umma na Mamlaka zao za Rufaa katika Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika Mkoani Iringa tarehe 27&28 Novemba,2025.



Sehemu ya Wakurugenzi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora pamoja na viongozi mbalimbali wakifuatilia mada mbabalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na wawezeshajiwakati wa  Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika tarehe 27&28 Novemba,2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.

Mshiriki wa kikao kazi cha Maafisa Sheria na Maafisa Utumishi ambaye ni Meneja anayesimamia mafao Mfuko wa Mafao wa PSSF Bw. James Oigo akiwasilisha mada ihusuyo ushughulikiaji na ulipaji wa mafao kwa Watumishi wa Umma baada ya kustaafu wakati wa Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika tarehe 27&28 Novemba,2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.



Mgeni Rasmi ambaye ni Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa Maadili Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Felista Shuli akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa Sheria na Maafisa Utumishi wakati wa  Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika tarehe 27&28 Novemba,2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.


Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa Maadili Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Felista Shuli akitoa neno la kufunga kikao kazi cha Kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma na kanuni zake kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Bw Juma Mkomi kilichofanyika Mkoani Iringa tarehe 27&28 Novemba ,2025.

Mgeni Rasmi ambaye ni Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa Maadili Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Felista Shuli akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa Sheria na Maafisa Utumishi wakati wa  Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika tarehe 27&28 Novemba,2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.

 


Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi Hilda Kabissa akifafanua jambo kwa Maafisa Sheria na Maafisa Utumishi wakati wakijadili mada mbalimbali katika   Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika tarehe 27&28 Novemba,2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.

 

Mgeni Rasmi ambaye ni Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa Maadili Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Felista Shuli akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa Sheria na Maafisa Utumishi wakati wa  Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika tarehe 27&28 Novemba,2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.

 


Mshiriki wa kikao kazi cha Maafisa Sheria na Maafisa Utumishi ambaye ni Afisa Mafao Mwandamizi Bw. Emmanuel Kalumuna kutoka Mfuko wa Mafao wa NSSF akiwasilisha mada ihusuyo ushughulikiaji na ulipaji wa mafao kwa Watumishi wa Umma baada ya kustaafu wakati wa  Kikao kazi cha kutambua changamoto za utekelezaji wa Sheria ya Utumishi wa Umma kilichofanyika tarehe 27&28 Novemba,2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa


No comments:

Post a Comment