Thursday, October 3, 2019

WATENDAJI SERIKALINI WATAKIWA KUTENDA HAKI WANAPOWAHUDUMIA WATUMISHI ILI KUPUNGUZA IDADI YA RUFAA NA MALALAMIKO YANAYOWASILISHWA TUME YA UTUMISHI WA UMMA



Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na Watendaji wa Mkoa wa Mwanza (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi kilichofanyika jijini Mwanza.

Baadhi ya Watendaji kutoka Mkoa wa Mwanza wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza wakati wa kikao kazi kilichofanyika jijini Mwanza.


Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, Bw. Nyakimura Muhoji akijibu hoja wakati wa kikao kazi kati ya Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb), Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma na Watendaji wa Mkoa wa Mwanza kilichofanyika jijini Mwanza.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) (kulia) akiteta jambo na Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Mhe.John Haule wakati wa kikao kazi kati yake na Watendaji wa Mkoa wa Mwanza kilichofanyika jijini Mwanza. Kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilemela Bw. Said Raphael Kitinga.



No comments:

Post a Comment