Thursday, October 31, 2019

SERIKALI KUBORESHA MIFUMO YA UFUATILIAJI NA TATHMINI ILI KURAHISISHA UPATIKANAJI WA TAARIFA



Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Nolasco Kipanda akifunga mafunzo ya wadau yenye lengo la kuwajengea uwezo wa Ufuatiliaji na Tathmini watendaji wa Serikali yaliyofanyika jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Idara ya Mikataba ya Utendaji Kazi Serikalini, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Hassan Kitenge akiwasilisha mada wakati wa mafunzo ya wadau yenye lengo la kuwajengea uwezo wa Ufuatiliaji na Tathmini watendaji wa Serikali yaliyofanyika jijini Dodoma.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya wadau yenye lengo la kuwajengea uwezo wa Ufuatiliaji na Tathmini watendaji wa Serikali wakifuatilia mada wakati wa mafunzo hayo jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment