Tuesday, October 8, 2024

VIONGOZI WA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA WATEMBELEA OFISI YA RAIS-UTUMISHI

Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Wa Chama Cha Walimu Tanzania walipotembelea ofisi hiyo kwa lengo la kujitambulisha na kutoa shukrani kwa kusimamia vema masuala ya watumishi wa umma kwa kada ya ualimu










No comments:

Post a Comment