Wednesday, February 27, 2019

SERIKALI YAISHUKURU CHINA KWA KUIPATIA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KOMPYUTA MPAKATO 20



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb), akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Wang Ke alipowasili Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania kukabidhi kompyuta kwa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania yaliyofanyika kwenye ukumbi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb), akizungumza katika hafla fupi ya makabidhiano ya kompyuta kwa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania yaliyofanyika kwenye ukumbi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam.

Mtendaji Mkuu na Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, Dkt. Henry Mambo akitoa neno la utangulizi wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya kompyuta kwa Chuo chake yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania jijini Dar es Salaam.

Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Wang Ke akizungumza kabla ya kukabidhi kompyuta kwa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Dkt. Charles Msonde.

Baadhi ya watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) (hayupo pichani) katika hafla fupi ya makabidhiano ya kompyuta kwa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania yaliyofanyika kwenye ukumbi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) akimkabidhi zawadi Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Wang Ke baada ya hafla fupi ya makabidhiano ya kompyuta kwa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania yaliyofanyika kwenye ukumbi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) akipokea moja ya kompyuta mpakato kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Wang Ke katika hafla fupi ya makabidhiano ya kompyuta kwa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania yaliyofanyika kwenye ukumbi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro.

No comments:

Post a Comment