Sunday, February 24, 2019

SERIKALI HAITOMUACHA SALAMA MTUMISHI YEYOTE ATAKAEKULA FEDHA ZA UMMA KWA MASILAHI BINAFSI


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze, wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi hao  chenye lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi hao, mara baada ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF Wilayani Bagamoyo.

Baadhi ya watumishi wa umma wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) (hayupo pichani), wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi hao chenye  lengo la kuhimiza uwajibikaji, mara baada ya  kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF Wilayani Bagamoyo.

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Mhe. Zainab R. Kawawa akimueleza  Dkt. Mwanjelwa hatua alizochukua dhidi ya changamoto ya ubadhirifu wa fedha za umma wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi wa Halmashauri hiyo chenye  lengo la kuhimiza uwajibikaji,  mara baada ya  kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF Wilayani Bagamoyo.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb)  na Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Mhe. Zainab R. Kawawa wakisikiliza maelezo ya kiutumishi toka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze, Bw. Shabani Milao wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi wa Halmashauri hiyo chenye  lengo la kuhimiza uwajibikaji.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akisisitiza nidhamu katika matumizi ya fedha za umma  kwa  watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze, wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi hao chenye lengo la  kuhimiza uwajibikaji.




No comments:

Post a Comment