Tuesday, February 26, 2019

AFISA UTUMISHI MKURANGA AONYWA KUTUMIA CHEO CHAKE VIBAYA KUOMBA RUSHWA YA NGONO KWA WATENDAJI WA VIJIJI



Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi hao chenye lengo la kuhimiza uwajibikaji.

Baadhi ya watumishi wa umma wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) (hayupo pichani), wakati wa kikao kazi cha watumishi hao na Naibu Waziri huyo chenye lengo la kuhimiza uwajibikaji.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akisikiliza hoja mbalimbali zilizowasilishwa na  watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, wakati wa kikao kazi na watumishi hao chenye lengo la kuhimiza uwajibikaji. 

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akisisitiza uadilifu kwa  watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, wakati wa kikao kazi na watumishi hao  chenye lengo la kuhimiza uwajibikaji. 

No comments:

Post a Comment