Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Sera, Ofisi
ya Rais-UTUMISHI, Bw. Cyrus Kapinga
akizungumza wakati wa kikao kazi cha kuimarisha
ushirikiano katika masuala ya kiutumishi kati ya ofisi hiyo na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria,
Utumishi na Utawala Bora (SMZ) kilichofanyika
jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Mipango, Sera na Utafiti, Afisi ya
Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ), Bw. Said Salim akizungumza wakati wa kikao kazi cha kuimarisha
ushirikiano katika masuala ya kiutumishi kati ya ofisi hiyo na Ofisi ya
Rais-UTUMISHI kilichofanyika jijini Dodoma.
Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Afisi
ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi
na Utawala Bora (SMZ) wakiwa kwenye kikao kazi
kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kiutumishi kilichofanyika
jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais,
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Musa Magufuli (aliyenyoosha
mkono) akichangia hoja wakati wa kikao kazi cha ofisi hiyo na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) kilicholenga kuimarisha
ushirikiano katika masuala ya kiutumishi kilichofanyika jijini Dodoma.
Sehemu ya Wakurugenzi kutoka Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) wakifuatilia kikao kazi kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kiutumishi kati ya ofisi hiyo na Ofisi ya Rais-UTUMISHI kilichofanyika jijini Dodoma.
Katibu Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma – Zanzibar, Bi. Asma Jidawy (wa kwanza kushoto) akiwasilisha hoja wakati wa kikao kazi kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kiutumishi kwa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) kilichofanyika jijini Dodoma.
Sehemu ya Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakifuatilia
kikao kazi kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika
masuala ya kiutumishi kati ya ofisi hiyo na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi
na Utawala Bora (SMZ) kilichofanyika jijini Dodoma.
Mkurugenzi
wa Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, SACP.
Ibrahim Mahumi akifafanua hoja wakati wa kikao kazi kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kiutumishi kati
ya ofisi hiyo na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) kilichofanyika
jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya TEHAMA Serikalini, Ofisi ya
Rais-UTUMISHI, Bw. Priscus Kiwango akielezea kuhusu mifumo mbalimbali ya
kiutumishi inayotumika katika utendaji kazi wakati wa kikao kazi cha ofisi hiyo
na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) kilichofanyika
jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment