Thursday, February 6, 2025

MAKATIBU WAKUU OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA AFISI YA RAIS, KATIBA, SHERIA, UTUMISHI NA UTAWALA BORA (SMZ) WAONGOZA KIKAO CHA MASHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA

 

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi (wa kwanza kushoto) akizungumza wakati wa kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kati ya ofisi hiyo na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) kilichofanyika jijini Dodoma.


Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) wakiwa kwenye kikao kilicholenga   kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa ofisi hizo mbili kilichofanyika jijini Dodoma.


Katibu Mkuu, Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ), Bi. Mansoura Kassim (kulia) akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi (kushoto) wakati wa kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa ofisi hizo mbili kilichofanyika jijini Dodoma.


Sehemu ya Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakifuatilia kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kati ya ofisi hiyo na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) kilichofanyika jijini Dodoma.


Naibu Katibu Mkuu, Utumishi na Utawala Bora, Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ), Bw. Omar Gora (wa kwanza kushoto) akiwasilisha hoja kuhusu ajira wakati wa kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kati ya ofisi hiyo na Ofisi ya Rais-UTUMISHI kilichofanyika jijini Dodoma.


Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Sera, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Cyrus Kapinga (aliyesimama) akisoma taarifa ya kikao cha wataalam kuhusu Sekta ya Watumishi wa Umma na Utawala Bora wakati wa kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kiutumishi kati ya ofisi hiyo na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) kilichofanyika jijini Dodoma.


Wakurugenzi kutoka Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) wakifuatilia kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kati ya ofisi hiyo na Ofisi ya Rais-UTUMISHI kilichofanyika jijini Dodoma.

Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakifuatilia kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kati ya ofisi hiyo na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) kilichofanyika jijini Dodoma.


Wakurugenzi kutoka Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) wakifuatilia kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kati ya ofisi hiyo na Ofisi ya Rais-UTUMISHI kilichofanyika jijini Dodoma.


Wakurugenzi Wasaidizi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakifuatilia kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kati ya ofisi hiyo na Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) kilichofanyika jijini Dodoma.

Wakurugenzi kutoka Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora (SMZ) wakifuatilia kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kati ya ofisi hiyo na Ofisi ya Rais-UTUMISHI kilichofanyika jijini Dodoma.




No comments:

Post a Comment