Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.
Ridhiwani Kikwete akizungumza na Viongozi wa TRAMPA waliofika ofisini kwake kwa
ajili ya kuwasilisha ripoti ya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 14 wa chama hicho
utakaofanyika Jijini Dodoma tarehe 21-25 Septemba, 2026. Aliyesimama ni
Mwenyekiti wa TRAMPA Bi. Devota Mrope.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akipokea ripoti ya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 14 wa TRAMPA utakaofanyika Jijini Dodoma kutoka kwa Mwenyekiti wa TRAMPA Bi. Devota Mrope. Zoezi hilo limefanyika ofisini kwake Mtumba Jijini Dodoma Septemba 1, 2026.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Viongozi wa TRAMPA mara baada ya kupoke ripoti ya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 14 wa TRAMPA utakaofanyika Jijini Dodoma tarehe 21-25 Septemba, 2026.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wakurugenzi wa Ofisi yake na Viongozi wa TRAMPA mara baada ya kupoke ripoti ya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 14 wa TRAMPA utakaofanyika Jijini Dodoma tarehe 21-25 Septemba, 2026.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Viongozi wa TRAMPA (hawapo pichani) mara baada ya kupoke ripoti ya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 14 wa TRAMPA utakaofanyika Jijini Dodoma tarehe 21-25 Septemba, 2026.
No comments:
Post a Comment