Saturday, March 8, 2025

WANAWAKE WATUMISHI WA UTUMISHI WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE MKOANI DODOMA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Na. Lusungu Helela– Dodoma

 Watumishi Wanawake  wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  wameungana  na wanawake wengine  jijini Dodoma na Duniani kote  kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani  ambayo huadhimishwa Machi  08 kila mwaka.

Watumishi hao wameongozwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Ofisi hiyo,   sehemu ya Utawala, Bi Mwalibora Mwamtuya katika kuadhimisha Siku hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Chinangali kwa ngazi ya Mkoa,  jijini Dodoma.

Maadhimisho hayo Kitaifa yamefanyika  Jijini Arusha  ambapo Mgeni Rasmi alikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kauli mbiu ya maadhimisho hayo kwa mwaka huu ni  ‘’ Wanawake  na Wasichana 2025: Tuimarishe  Haki, Usawa na Uwezeshaji" Lengo likiwa ni kuhamasisha jamii kukuza  Usawa, Haki na Uwezeshaji wa Wanawake  na Wasichana  kwa kuzingatia kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 ili wajiamini, wajiandae na wajitokeze kugombea nafasi za uongozi.

Baadhi ya Wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  na Utawala Bora  wakiwa wameshika bango la ofisi hiyo wakati wa maandamano ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Chinangali 
Baadhi ya Wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  na Utawala Bora  wakiwa wameshika bango la ofisi hiyo wakati wa maandamano ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Chinangali 

Baadhi ya Wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi na Utawala Bora  wakiwa na wanawake wa  Wizara zingine wakiwa kwenye  maandamano wakitokea Viwanja vya "Nyerere Square"  ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Chinangali 

Baadhi ya Wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi na Utawala Bora  wakiwa wamejawa na furaha   wakati wa maandamano  ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Chinangali 


Baadhi ya Wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi na Utawala Bora  wakiwa wamejawa na furaha   wakati wa maandamano  ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Chinangali 

Baadhi ya Wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi na Utawala Bora  wakiwa na wanawake wa  Wizara zingine wakiwa kwenye  maandamano wakitokea Viwanja vya "Nyerere Square"  ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Chinangali 

 

Baadhi ya Wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi na Utawala Bora  wakiwa na wanawake wa  Wizara zingine wakiwa kwenye  maandamano wakitokea Viwanja vya "Nyerere Square"  ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Chinangali 

 

Baadhi ya Wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi na Utawala Bora  wakiwa wamejawa na furaha   wakati wa maandamano  ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Chinangali 
Baadhi ya Wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi na Utawala Bora  wakiwa wamejawa na furaha   wakati wa maandamano  ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Chinangali 

Baadhi ya Wanawake wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi na Utawala Bora  wakijipanga kuingia viwanja vya Chinangali ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo kimkoa yamefanyika jijini Dodoma katika viwanja hivyo vya Chinangali




No comments:

Post a Comment