Friday, March 7, 2025

HABARI KATIKA PICHA-MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2025


Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Anuai za Jamii, Idara ya Uendelezaji Sera, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Mwanaamani Mtoo (kulia) akimhudumia Mwananchi aliyefika katika banda la ofisi hiyo kwa ajili ya kupata huduma wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2025 yanayoendelea katika Viwanja vya Shekh Amri Abeid Karume jijini Arusha.

Afisa kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Annajackline Muhuga (wa pili kutoka kushoto) akifafanua jambo kwa Mwananchi aliyetembelea banda la Ofisi hiyo wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2025 yanayoendelea katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Karume jijini Arusha.


Maafisa kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakionesha bango la Mwongozo wa Mavazi kwa Utumishi wa Umma wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2025 yanayoendelea katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Karume jijini Arusha.


Mtumishi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Justina Diyabene akionesha huduma zinazotolewa katika banda la ofisi hiyo lililopo katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Karume wakati wa Maadhimisho ya Siku ya wanawake Duniani 2025 yanayoendelea jijini Arusha.


Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakiwa mbele ya banda la ofisi hiyo tayari kwa kuwahudumia Watumishi wa Umma na Wananchi katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Karume wakati wa Maadhimisho ya Siku ya wanawake Duniani 2025 yanayoendelea jijini Arusha.


Afisa kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Enasy Lwidiko (kulia) akimhudumia Mtumishi wa Umma aliyefika katika banda la ofisi hiyo kwa ajili ya kupata huduma za Kiutumishi wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2025 yanayoendelea katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Karume jijini Arusha. 




No comments:

Post a Comment