Friday, October 27, 2023

MHE. RIDHIWANI KIKWETE AKAGUA MAANDALIZI YA MKUTANO MKUU WA TRAMPA JIJINI DODOMA

 

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimiana na baadhi ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa umma na Utawala Bora   mara baada ya kuwasili kwa ajili ya  kukagua maandalizi ya mkutano Mkuu wa Chama Cha Wahifadhi Kumbukumbu na Nyaraka unaotarajiwa  kufunguliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa,  Jijini Dodoma.


Baadhi ya  Wahifadhi Kumbukumbu na Nyaraka wakimsiliza  Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete mara baada ya kuwasili kwa ajili ya  kukagua maandalizi ya mkutano Mkuu wa Chama Cha Wahifadhi Kumbukumbu na Nyaraka  ambapo Mgeni Rasmi wa Mkutano huo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tnzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa



Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa umma, Bw. Xavier Daudi  akizungumza kabla ya kumkaribisha  Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete mara baada ya kuwasili kwa ajili ya  kukagua maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Chama Cha Wahifadhi Kumbukumbu na Nyaraka unaotarajiwa  kufunguliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa,  Jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wahifadhi Kumbukumbu na Nyaraka mara baada ya kuwasili kwa ajili ya  kukagua maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Chama Cha Wahifadhi Kumbukumbu na Nyaraka hao unaotarajiwa  kufunguliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa,  Jijini Dodoma.





No comments:

Post a Comment