Thursday, October 26, 2023

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA,KATIBA NA SHERIA YARIDHISHWA NA OFISI YA RAIS-UTUMISHI KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE

1.    Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Florent Kyombo akiongoza kikao kazi cha kamati yake na Watendaji wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kuhusu Utekelezaji wa Mpango na Bajeti wa Taasisi zilizo chini ya Ofisi hiyo (Tume ya Utumishi wa Umma, Watumishi Housing, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa ) kwa mwaka 2022/23



1.    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwasilisha taarifa ya Utelezaji wa Mpango na Bajeti wa taasisi zilizo chini ya Ofisi yake (Tume ya Utumishi wa Umma, Watumishi Housing, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa) kwa mwaka 2022/23 kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichofanyika jijini Dodoma.


Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria wakiwa katika kikao kazi cha kamati hiyo na Watendaji wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  kilicholenga kuwasilisha Utekelezaji wa Mpango na Bajeti wa taasisi zilizo chini ya Ofisi hiyo (Tume ya Utumishi wa Umma, Watumishi Housing, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa) kwa mwaka 2022/23

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akitoa ufafanuzi wa moja ya hoja iliyowasilishwa na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria wakati wa kikao kazi cha kamati hiyo kuhusu Utekelezaji wa Mpango na Bajeti wa taasisi zilizo chini ya ofisi hiyo (Tume ya Utumishi wa Umma, Watumishi Housing, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa) kwa mwaka 2022/23 kilichofanyika jijini Dodoma.


Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Abeid Ramadhan akichangia hoja kuhusu masuala ya ajira wakati wa kikao kazi cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria na viongozi pamoja na watendaji wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kuhusu Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa taasisi zilizo chini ya ofisi hiyo (Tume ya Utumishi wa Umma, Watumishi Housing, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa ) kwa mwaka 2022/23.


Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Alice Kaijage akichangia hoja kuhusu masuala ya ajira wakati wa kikao kazi cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria na viongozi pamoja na watendaji wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kuhusu Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa taasisi zilizo chini ya ofisi hiyo (Tume ya Utumishi wa Umma, Watumishi Housing, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa ) kwa mwaka 2022/23.


No comments:

Post a Comment