Wednesday, July 6, 2022

TASAF YAMUWEZESHA MLENGWA KUFUNGUA DUKA LINALOTOA HUDUMA KWA JAMII INAYOMZUNGUKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akisikiliza ushuhuda wa mlengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini, Bi. Sophia Agustino wa Kijiji cha Ngalinje wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wilayani humo.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akimpongeza mlengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini, Bi. Sophia Augustino wa Kijiji cha Ngalinje wilayani Tunduru mkoani Ruvuma kwa kufungua duka kupitia ruzuku ya TASAF ambalo linaihudumia jamii inayomzunguka.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na wananchi wa Kijiji cha Ngalinje, Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika wilaya hiyo.


Walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na wananchi wa Kijiji cha Ngalinje wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika wilaya hiyo.


 

No comments:

Post a Comment