Wednesday, August 3, 2016

MHE. KAIRUKI AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA KUZUNGUMZIA MABORESHO KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kushoto) akifafanua jambo kuhusu maboresho katika Utumishi wa Umma alipokutana na ujumbe kutoka Benki ya Dunia (WB) kwenye ukumbi wa Ofisi ya Rais Utumishi leo mchana. Wa kwanza kulia ni Meneja Mtendaji wa Sekta ya Umma kutoka Benki hiyo, Bw. George Larhi na katikati ni Mkurugenzi wa Utumishi wa Umma na Taasisi wa WB.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (katikati) akizungumza na Ujumbe kutoka Benki ya Dunia kuhusu maboresho katika Utumishi wa Umma kwenye ukumbi wa Ofisi ya Rais Utumishi leo mchana.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kushoto) akimsikiliza Meneja Mtendaji wa Sekta ya Umma kutoka Benki ya Dunia (WB), Bw. George Larhi (wa kwanza kulia) wakati wa mazungumzo na ujumbe wa Benki hiyo kuhusu maboresho katika Utumishi wa Umma kwenye ukumbi wa Ofisi ya Rais Utumishi leo mchana. Katikati ni Mkurugenzi wa Utumishi wa Umma na Taasisi wa WB.

No comments:

Post a Comment