Tuesday, August 23, 2016

MATUKIO KATIKA PICHA: KIKAO KAZI CHA WAZIRI KAIRUKI NA WATUMISHI WA UMMA MKOANI KAGERA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akipitia hoja ya mmoja wa washiriki wa kikao kazi mkoani Kagera
Ufafanuzi wa hoja na kero mbalimbali mkoani Kagera ukitolewa na watalaam wakati wa kikao kazi
Bw. Welanika Sylivester akiwasilisha tatizo kuhusu kutopandishwa cheo kwa muda mrefu
Flora Kaigi akiwasilisha hoja kuhusu utaratibu wa kupandishwa daraja
Mmoja kati ya washiriki akiwasilisha hoja kuhusu walimu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akiongea na Watumishi wa Umma mkoani Kagera kuhusu masuala mbalimbali ya kiutumishi na wajibu wao wa kutoa huduma bora kwa wateja wa ndani na nje wakiwamo wananchi.

No comments:

Post a Comment