Monday, August 22, 2016

MHE. KAIRUKI ASIKILIZA KERO NA MAONI YA WATUMISHI WA UMMA MKOANI KAGERA

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu (kushoto) akiwasilisha taarifa ya Mkoa wake kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (kulia).


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (kushoto) akitoa maelekezo kwa uongozi wa Mkoa wa Kagera  ikiwemo  kusafisha taarifa za watumishi mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu (kulia) kuwasilisha taarifa ya Mkoa wake.
Baadhi ya Watumishi wa Umma wa Mkoa wa Kagera wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (hayupo pichani) wakati wa kikao kazi cha waziri huyo na watumishi hao kilichofanyika Mkoani Kagera.

Mmoja wa watumishi wa  Umma  wa Mkoa wa Kagera akiwasilisha malalamiko yake kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (hayupo pichani) wakati wa kikao kazi cha waziri huyo na watumishi hao kilichofanyika Mkoani Kagera.

No comments:

Post a Comment