Saturday, August 20, 2016

MHE. KAIRUKI AFUATILIA ZOEZI LA UHAKIKI WA WATUMISHI HEWA SERIKALINI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.  Angellah J.  Kairuki (Mb) akitoa taarifa kwa Vyombo vya Habari  kuhusu zoezi la kuondoa watumishi hewa katika orodha ya malipo ya mishahara serikalini ofisini kwake

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.  Angellah J. Kairuki (Mb)  alipozungumza nao ofisini kwake jijini Dar es Salaam

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.  Angellah J.  Kairuki (Mb) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusu utekelezaji wa agizo la kuondoa watumishi hewa katika orodha ya malipo ya mishahara Serikalini ofisini kwake 




No comments:

Post a Comment