Friday, December 18, 2015

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb), alipofanya kikao na Watumishi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri Kazi -UTUMISHI.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (katikati), alipofanya kikao na Watumishi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri Kazi -UTUMISHI.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kushoto), akitoa maelekezo kwa Watumishi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri Kazi -UTUMISHI.



No comments:

Post a Comment