Tuesday, December 29, 2015

WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUZALIWA UPYA KIUTENDAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akishuhudia mfumo wa maombi ya kazi (recruitment portal) unavyofanya kazi alipotembelea ofisi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Daudi Xavier (kulia) akieleza majukumu ya ofisi yake kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) alipoitembelea ofisi hiyo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akiwahimiza watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kufanya kazi kwa uadilifu alipoitembelea ofisi hiyo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kulia) akizungumza na watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma alipoitembelea ofisi hiyo.

No comments:

Post a Comment