Wednesday, December 16, 2015

AZIRI WA UTUMISHI NA UTAWALA BORA MHE. KAIRUKI AENDELEA KUTEMBELEA IDARA/VITENGO - kukaa na Watumishi katika ofisi zao kuwasikiliza

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Anjella Kairuki (Mb), akitoa maelekezo kwa Watumishi wa Idara ya Uendelezaji Sera, Ofisi ya Rais-UTUMISHI mapema leo.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Anjella Kairuki ( Mb), kushoto, akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Sera, Ofisi ya Rais-UTUMISHI Bw. Mathias B. Kabunduguru. Waziri Mhe. Kairuki anatembelea kila Idara na Kitengo katika ofisi yake kubaini changamoto mbalimbali na namna ya kuzitatua.

Baadhi ya Wafanyakazi wa Idara ya Uendelezaji Sera wakiwa katika kikao kazi na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora Mhe. Anjella Kairuki (Mb).


No comments:

Post a Comment