Monday, December 14, 2015

MHE. ANGELLA KAIRUKI AKABIDHIWA NYARAKA MUHIMU ZA KIUTUMISHI

Waziri wa  Nchi, Ofisi ya Rais – UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kushoto) akikabidhiwa Kanuni za Kudumu katika Utumishi wa Umma (Standing Order) na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais- UTUMISHI na Utawala Bora Bw. HAB Mkwizu ofisini kwake. 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kushoto) akipokea Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi wa Umma kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - UTUMISHI na Utawala Bora Bw. HAB Mkwizu ofisini kwake  
Waziri wa  Nchi, Ofisi ya Rais – UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kushoto) akikabidhiwa Nyaraka za Maendeleo ya Utumishi na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais- UTUMISHI na Utawala Bora Bw. HAB Mkwizu ofisini kwake . 
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais- UTUMISHI na Utawala Bora Bw. HAB Mkwizu (kulia) akizungumza baada ya kumkabidhi nyaraka mbalimbali  Waziri wa  Nchi, Ofisi ya Rais – UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb). 
Waziri wa  Nchi, Ofisi ya Rais –UTUMISHI  na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akiagana na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais- UTUMISHI na Utawala Bora Bw. HAB Mkwizu baada ya kukabidhiwa nyaraka mbalimbali za kiutumishi ofisini kwake. 

No comments:

Post a Comment