Thursday, December 17, 2015

SERIKALI YAWASHUKURU WATAALAM WA KUJITOLEA KUTOKA JAPAN WALIOMALIZA MUDA WAO WA KUTOA HUDUMA NCHINI

Mtaalam wa Kujitolea kutoka nchini Japani Bw. Shinji Miwa (kushoto) akielezea namna alivyofanya kazi katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya ,wakati wa hafla ya kuwaaga wataalam wa kujitolea kutoka nchini Japan waliomaliza muda wao iliyofanyika ukumbi wa Utumishi.

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Tixon Nzunda (kushoto) akizingumza na wataalam wa kujitolea kutoka nchini Japan waliomaliza muda wao katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Utumishi.

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Tixon Nzunda (kushoto) akikabidhi zawadi kwa Mtaalam wa kujitolea kutoka nchini Japan Bi. Yuko Inoue aliyemaliza muda wake wa kutoa huduma nchini  katika hafla ya kuwaaga wataalam hao iliyofanyika ukumbi wa Utumishi. 
Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Tixon Nzunda (kushoto) akikabidhi zawadi kwa Mtaalam wa kujitolea kutoka nchini Japan Bw. Shinji Miwa aliyemaliza muda wake wa kutoa huduma nchini  katika hafla ya kuwaaga wataalam hao iliyofanyika ukumbi wa Utumishi.  
Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Tixon Nzunda (wa nne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wataalam wa Kujitolea kutoka nchini Japan waliomaliza muda wao wa kutoa huduma nchini baada ya hafla ya kuwaaga iliyofanyika Utumishi. 

No comments:

Post a Comment