Tuesday, December 15, 2015

MHE. KAIRUKI AWAHIMIZA WATUMISHI WA IDARA YA UTAWALA WA UTUMISHI SERIKALINI KUWAJIBIKA IPASAVYO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kushoto) akizungumza na watumishi wa Idara ya Utawala wa Utumishi Serikalini (DE) kuhimiza uwajibikaji wakati wa kikao kazi kati yake na Idara hiyo kilichofanyika ukumbi mdogo wa mikutano wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI alasiri leo. 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Utawala wa Utumishi Serikalini (DE) Bw. Nyakimura Muhoji wakati wa kikao kazi cha Mhe. Waziri na watumishi wa Idara hiyo kilichofanyika ukumbi mdogo wa mikutano wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI alasiri leo. 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) (kulia) akitoa maelekezo ya kiutendaji kwa Mkurugenzi wa Idara ya Utawala wa Utumishi Serikalini (DE) Bw. Nyakimura Muhoji wakati wa kikao kazi cha Mhe. Waziri na watumishi wa Idara hiyo kilichofanyika ukumbi mdogo wa mikutano wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI alasiri leo. 

No comments:

Post a Comment