Thursday, December 31, 2015

MHE. KAIRUKI ATEMBELEA WAKALA YA SERIKALI MTANDAO NA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akishuhudia sehemu ya kusimamia mtandao wa mawasiliano wa Serikali alipotembelea Wakala ya Serikali Mtandao (eGA) 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akizungumza na vyombo vya habari alipotembelea Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akishuhudia Mkongo wa Mawasiliano wa Taifa alipotembelea Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akizungumza na vyombo vya habari alipokitembelea Chuo cha Utumishi wa Umma (Magogoni)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma alipokitembelea

Add caption

No comments:

Post a Comment