Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.
Ridhiwani Kikwete akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora tayari kuanza ziara
yake ya kikazi iliyolenga kukagua,
kuzindua utekelezaji wa miradi ya maendeleo na
kusikiliza changamoto za wananchi katika Mkoa huo.
No comments:
Post a Comment