Friday, June 20, 2014

MATUKIO MBALIMBALI YA KONGAMANO LA MIAKA 50 YA MUUNGANO KATIKA UTUMISHI WA UMMA ,KITUO CHA KIMATAIFA CHA MIKUTANO CHA MWALIMU NYERERE (JNICC) JIJINI DAR ES SALAAM

 
Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu  Bw. Phillemon Luhanjo akitoa mada wakati wa Kongamano la Miaka 50 ya Muungano katika Utumishi wa Umma katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC) leo.
Washiriki wa Kongamano la Miaka 50 ya Muungano katika Utumishi wa Umma wakimsikiliza Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Bw.Phillemon Luhanjo wakati wa kongamano hilo.
Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu (wa pili kutoka kushoto) akiongoza Meza kuu wakati wa Kongamano la Miaka 50 ya Muungano katika Utumishi wa Umma linaloendelea katika kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.Kutoka kulia ni Mkurugenzi Idara ya Uchambuzi na Ushauri  kazi Bw.Micky Kiliba,Katibu Mkuu Mstaafu Bi.Ryth Mollel na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Xavier Daudi.

Washiriki wa Kongamano la Miaka 50 ya Muungano katika Utumishi wa Umma wakimsikiliza Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Bw.Phillemon Luhanjo wakati wa kongamano hilo.

Mkurugenzi Idara ya Uchambuzi na Ushauri  Kazi Bw.Micky Kiliba akichangia mada wakati wa Kongamano la Miaka 50 ya Muungano katika Utumishi wa Umma lililofanyika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam leo.

Mtendaji Mkuu Wakala ya Serikali Mtandao (eGA) Dkt.Jabiri Kuwe Bakari akichangia mada wakati wa Kongamano la Miaka 50 ya Muungano katika Utumishi wa Umma lililofanyika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam leo.

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Bw.Mrisho Gambo akichangia mada wakati wa Kongamano la Miaka 50 ya Muungano katika Utumishi wa Umma lililofanyika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment