Saturday, June 28, 2014

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA WAKURUGENZI WA UTAWALA NA RASILIMALIWATU SERIKALINI WAFUNGWA RASMI

Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi akifunga mkutano mkuu wa mwaka wa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Serikalini katika ukumbi wa St. Gaspar mjini Dodoma .

Baadhi ya washiriki wa mkutano mkuu wa mwaka wa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Serikalini wakimsikiliza Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (hayupo pichani) kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Serikalini katika ukumbi wa St. Gaspar mjini Dodoma .

Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bi.Claudia Mpangala (kulia) akiongea kabla ya kufungwa kwa mkutano mkuu wa mwaka wa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Serikalini katika ukumbi wa St. Gaspar mjini Dodoma.Kutoka kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu, Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi na Mkurugenzi Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma, Bw.Nyakimura Muhoji.

No comments:

Post a Comment