Friday, June 20, 2014

KONGAMANO LA MIAKA 50 YA MUUNGANO LAFUNGWA RASMI

Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu akifunga Kongamano la Miaka 50 ya Muungano katika Utumishi wa Umma kwa Niaba ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam. 

Mmoja wa wajumbe wa Kongamano la Miaka 50 ya Muungano katika Utumishi wa Umma akiwasilisha majumuisho ya maazimio ya kongamano hilo katika Kituo cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam. 

No comments:

Post a Comment